Katika kipengele Mwanamuziki Bora wa Kiume nominees walikuwa ni Anselmo Ralph ( wa Angola), Davido (Nigeria), Donald (Afrika Kusini) , Wizkid (Nigeria) na Diamond Platnumz (Tanzania) ambapo mshindi alikuwa ni Davido kutoka Nigeria.
Tuzo ya Best Collabo ilitangazwa awali na imechukuliwa na Uhuru ft DJ Bucks,Oskido,Professor,Yuri Da Cunha na wimbo wa Y-tjukutja.
Lakini sio mbaya watanzania wamefanya kazi kubwa kupiga kura na kutoa sapoti kwenye mitandao ya kijamii.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni