Wakati
mashabiki wa kundi la
muziki linaloiwakilisha vizuri Afrika kidunia
P-Square kutoka Nigeria wanaendelea kuwaombea ndugu hao wamalize tofauti
zao, mke wa Peter Okoye aitwaye Lola Omotayo, amevunja ukimya kwa
kuzungumza baada ya ripoti kumtaja kuwa sehemu ya chanzo cha matatizo ya
familia hiyo yaliyojitokeza.
Kupitia ukurasa wake wa facebook Lola ambaye ni mama wa watoto wawili wa Peter ameandika:
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni